| Wanahabari washiriki wa mafunzo ya ubora wa uandishi wa mitandao ya kijamii wakieleza kile walichojifunza jana kabla ya kuanza darasa leo mjini Dodoma katika mafunzo yaliyoandaliwa na TFM |
| Wakufunzi wa mafunzo ya ubora wa uandishi wa mitandao ya kijamii Beda Msimbe kushoto na Simon Mkina wakijiweka sawa kabla ya kuanza mafunzo hayo |
| Bi Joyce kutoka TMF akijiandaa kwa kazi ya siku ya pili |
| Bw Sanga kutoka TMF kulia akipongeza darasa kwa kukumbuka waliyojifunza jana |
No comments:
Post a Comment