Monday, September 9, 2013

HIVI NDIVYO MAREHEMU ASKOFU KULOLA ALIVYOACHA MJI WAKE CHANIKA DAR

Nyumba ya Marehemu Askofu Moses Kulola (kushoto). Kulia ni jiko.
Eneo la jiko.

  ...Nyumba za wajukuu pamoja na wageni zikiendelea kujengwa.


Kibao kinachoonesha taasisi ya Marehemu Kulola iliyopo katika nyumba yake.
  …Sehemu ya mji wa Chanika, jirani na nyumbani kwa Askofu Kulola.


Askofu Moses Kulola alifariki na kuzikwa Jumatano iliyopita jijini Mwanza. Lakini alikuwa na makazi Chanika nje kidogo ya jiji la Dar. Mwandishi wetu alifika na kukuta makazi hayo ambayo ni ya kawaida sana na kuonekana ni tofauti na maaskofu au wachungaji wengine wanaopenda vitu vya kifahari.


No comments:

Post a Comment