Mwana Wa  Afrika

Monday, May 6, 2013

RAIS DK. SHEIN AZINDUA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA KUSINI PEMBA

IMG_0305
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Mohamed Shein,akizindua mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa kwa
kuuwasha huko Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba
leo,(kulia) Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Tanzania
Bara,Dk.Fenelle Mukangara,na Waziri wa Ustawi wa Jamii Maendeleo ya
Vijana Wanawake na Watoto Zanzibar Zainab Omar
Mohamed,(kushoto).[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
IMG_0325Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Mohamed Shein,akizindua mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa
baada ya kuuwasha huko Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba
leo,mbele ya maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba.[Picha na
Ramadhan Othman Ikulu.]
IMG_0328Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Mohamed Shein,akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Kiongozi wa Mbio za
Mwenge Juma Ali Sima,(kushoto) kutoka Mkoa wa Kusini Unguja,baada
kuzindua rasmi mbio hizo Kitaifa huko Chokocho Wilaya ya Mkoani Mkoa
wa Kusini Pemba leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
Posted by Augustine Mgendi at 10:44 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Contact

Contact

Like Us On Facebook

Flag Counter

Followers

Popular Posts

  • WEEKEND NJEMA WADAU WANGU
  • (no title)
    WAZIRI MKUU PINDA AONGOZA MAMIA YA WANA MUSOMA KUMUAGA MWALIMU ALIYEMFUNDISHA BABA WA TAIFA.MWALIMU JAMES IRENGE LEO           Wadau...
  • (no title)
    A SKARI POLISI MMOJA MKOANI KIGOMA AFARIKI KATIKA AJALI YA PIKIPIKI  Na Pardon Mbwate na Felister Chubwa wa Jeshi la Polisi Kigoma ...
  • MKAPA AFUNGA KAMPENI IGUNGA
  • (no title)
    MAITI NYINGINE ZAIDI ZA MV SKAGIT ZAIOBUKA Na Mwandishi wa Jeshi la Polisi Zanzibar Idadi ya maiti za ajali ya kuzama kwa Meli ya M...
  • ISSA KIJOTI NA WENZAKE WAZIKWA
    Muimbaji mahiri wa muziki wa Taarabu nchini Issa Kijoti mzee wa mchumu mchumu mwaaa akipelekwa kati,ka nyumba yake ya milele.Mungu awaweke m...
  • (no title)
                               JAMII YASHINDWA KUFUATA MISINGI YA HAKI ZA WATOTO IMESEMEKANA KUWA JAMII IMESHINDWA KUFUATA MISINGI  YA HAKI ZA ...
  • (no title)
    HALMASHAURI YA WILAYA YA TARIME YATAKIWA KUONGEZA VYANZO VYA MAPATO.   Na: Dinna Maningo, Tarime. HALMASHAURI ya Wilaya ya Tarime Mkoani ...
  • Prof Muhongo ahimiza kilimo cha Alzeti katika jimbo la Musoma vijijini
                   Mkulima wa zao la Alzeti akitazama zao hilo shambani                          Baadhi ya wakulima hao wakifanya Mahoj...
  • (no title)
                         Charles Taylor ata hukumiwa leo Majaji katika mahakama maalum kuhusu vit...

Soccer Live

Total Pageviews

Blog Archive

2013. designed by Mark Jay.. Simple theme. Powered by Blogger.