Thursday, May 2, 2013

MEI MOSI ILIVYOFANA SHINYANGA

 Maandamano ya Wafanyakazi yakiongozwa na bendi wakati wakipita mbele ya mgeni Rasmi,Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally N. Rufunga jana katika uwanja wa Jamhuri Wilayani Kahama sherehe hizo zilipofanyika kimkoa.
 Burudani za ngoma za asili za kisukuma na nyimbo za taarabu kutoka kwa walimu zilifanikisha vilivyo.
 Mwenyekiti wa TUICO Mkoa wa Shinyanga Bw.Fue Mrindoko akimkaribisha Mhe.Ali N. Rufunga kuzungumza na wafanyakazi waliofurika katika kiwanja cha Jamhuri mjini Kahama.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Ally Rufunga jana katika uwanja wa Jamhuri Wilayani Kahama sherehe siku ya wafanyakazi duniani mei mosi.

No comments:

Post a Comment