Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoka katika chumba cha mikutano baada ya kuhudhuria kikao cha 29 cha wakuu wa nchi za NEPAD pembeni ya mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya AU katika makao makuu ya Umoja huo jijini Addid Ababa, Ethiopia
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akitoka katika chumba cha mikutano baada ya
kuhudhuria kikao cha 29 cha wakuu wa nchi za NEPAD pembeni ya mkutano wa
maadhimisho ya miaka 50 ya AU katika makao makuu ya Umoja huo jijini
Addid Ababa, Ethiopia Wakuu
wa nchi za Umoja wa Afrika na wageni mashuhuri walioalikwa wakiwa
katika picha ya pamoja wakati wa mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya
AU katika makao makuu ya Umoja huo jijini Addid Ababa, Ethiopia
Marais
wastaafu waliohudhuria maadhimisho ya miaka 50 ya AU katika makao makuu
ya Umoja huo jijini Addid Ababa, Ethiopia. Kutoka kushoto ni Dkt
Kenneth Kaunda (Zambia), Sam Nujoma (Namibia) na Mzee Festus Mogae
(Botswana)Mama
Salma Kikwete na wake wa marais wengine wakiwa katika mkutano wa
maadhimisho ya miaka 50 ya AU katika makao makuu ya Umoja huo jijini
Addid Ababa, Ethiopia
No comments:
Post a Comment