UFUNGUZI
WA BURUDANI: kocha wa Bayern Munich Jupp Heynckes (kushoto) akifungua
burudani kubwa ya kushangilia ubingwa huku akisaidia na kiungo fundi
Bastian Schweinsteiger
MWISHO WA YOTE AMESHINDA: Schweinsteiger akiwa amebeba ndoo ya UEFA pembeni akiwa na kimwari wake Sarah Brandner
SHANGWE KUBWA: Arjen Robben (kulia) na Mario Mandzukic (katikati) akiungana na Schweinsteiger
NJOO HAPA: Uli Hoeness akipongezwa na Schweinsteiger katika hoteli Park Lane
MWENDO WA PICHA: Schweinsteiger akipiga picha kupitia simu yake ya mkonononi
WACHEZAJI
WA AKIBA: Xherdan Shaqiri, Anatoliy Tymoshchuk na Rafinha hawakuanza
mechi ya jana, lakini walijiunga na wenzao kushangilia ubingwa wao
HADI WEWE?: Mkurugenzi mkuu wa Bayern Karl-Heinz Rummenigge akionesha utaalamu wake wa kusakata muziki, hadi raha
Shabiki wa Bayern akionesha umahiri wake wa kucheza baada ya kutwaa tajil lao
FURAHA KUBWA: Wachezaji wa Bayern wakiimba wimbo wa kushangilia ubingwa huku wakiongozwa na Schweinsteiger pamoja na Robben
MABINGWA WAPYA: Bayern Munich wamefanikiwa kuwa mabingwa mara tano wa UEFA baada ya kuwakwanyua Borrusia Dortmund usiku huu.
Ni shangwe kubwa sana kwa wachezaji wa Bayern baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA usiku huu
Robben akinyanyua mwari wa UEFA, hakika ametafuta sana
ILIKUWA
NAFASI NZURI: Kipindi cha kwanza kipa Roman Weidenfeller wa Borrusia
alimnyima Robben nafasi ya kufunga wakati huo huo Manuel Neuer wa
Bayerna nae alimnyima nafasi ya kufunga Robert Lewandowski
Robben alipoteza nafasi moja muhimu sana kipindi cha kwanza baada ya kupiga mpira na kumgonga kipa usoni bila kutegemea
MATATA: Franck Ribery alipona kupata adhabu baada ya kuonekana baada ya mkono wake kumpiga Lewandowski katika paji la uso
Robben akishangilia bao lake la ushindi usiku huu
No comments:
Post a Comment