Tuesday, May 14, 2013

BONGE LA SHEREHE LAPIGWA JIJINI MANCHESTER, KIBABU FERGIE ANG`ATUKA!!

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com

Mabingwa wa ligi kuu soka nchini Uingereza, mashetani wekundu Manchester United leo hii wamepiga bonge la sherehe kushangilia ubingwa wao wa 20 pamoja na kumuaga rasmi kocha wao aliyewafundisha kwa miaka 27 na kutwaa makombe 49 katika michuano mbalimbali.
Viongozi, wachezaji na mashabiki wa United leo hii wamepita mitaa mbalimbali ya jijini Manchester kushangilia ubingwa wao na kumuaga Ferguson kwa heshima kubwa.
Kocha Kibabu leo hii kaagwa rasmi na kubwaga manyanga ya kuwanoa United na kazi yake kumrithisha kocha ambaye amemhusudu kwa muda mrefu, David Moyes ambaye kwa sasa ni kocha wa Everton.
Manager Sir Alex Ferguson 
 
Ferguson amesitaafu huku akiwa tayari amesharejesha ubingwa alionyang`anywa na watani zake wa jadi Manchester City msimu uliopita na kupeleka adhaa kubwa kwa kocha wa City, Roberto Mancini ambaye kibarua chake kinaweza kuinga mchanga wakati wowote baada ya kufanya vibaya msimu huu.

Feguson amekaa na timu kwa miaka 27, ni ngumu kujua kama Moyes ataweza kukaa muda kama wake akiwa na United ama la.
Watu wengi walidhani Mreno Jose Mourinho angebeba mikoba ya Fergie lakini imekuwa taofauti kabisa.
Manchester United parade route
 Gwaride la kashangilia ubingwa lilipita katika mitaa hiyo hapo juu
Sod off: A child holds a sign with a message for Wayne RooneyMtoto akiwa ameshikilia bango lenye ujumbe kwa Wayne Rooney
Not enjoying it? Rooney looks downbeat on the bus
Hana Furaha kabisa: Rooney alionekana kukosa furaha wakati akiwa katika basi leo
Finale: Manchester United fans gather in Albert Square to greet the busMashabiki wa Manchester United wakijikusanya Albert Square kulisalimu basi la klabu yao
Thank you: One fan in Albert Square gets ready to greet the retiring legend FergusonAsante sana: Shabiki mmoja Albert Square akisalimu picha ya Ferguson 
Poised: United fans wave flags in Albert Square as they wait for the team busMashabiki wa United wakipeperusha bendera zao wakato wakisubiri basi la timu yao
Entrance: Sir Alex Ferguson arrives at Old Trafford to board the busANAINGIA: Sir Alex Ferguson akiingia Old Trafford
Room for one more? Sir Bobby Charlton joins the players on the busSir Bobby Charlton akijiunga na wachezaji wa United katika basi
Crowd pleaser: Ryan Giggs signs autographs for supportersMkongwe Ryan Giggs akisaini katika vitabu vya kumbukumbu vya mashabiki wa united.
Let the party begin: Manchester United players celebrate on board the bus outside Old TraffordShangwe ndio zinaanza kwa wachezaji wa United
Champion: Robin van Persie lifts the trophy 
Kombe: Robin van Persie akiinua juu taji lao la 20
Holding it aloft: Nani gets his hands on the trophy Nani akiinua taji lao
Snap: Robin van Persie takes a picture of the crowds outside Old Trafford Robin van Persie akiwapiga picha mashabki wa united
First on the bus: Nemanja Vidic and Patrice Evra lift the Premier League trophyNemanja Vidic na Patrice Evra wakiinua mwari wao
Words of wisdom: Sir Alex Ferguson addresses the 20,000 strong crowd gathered outside Old Trafford
Taking part: Wayne Ronney boarded the bus and was greeted with cheers as he lifted the trophy
Legend: A fan displays a tribute shirt to outgoing manager Sir Alex Ferguson
Record breakers: United parade their 19th league title in 2011. They had just surpassed Liverpool's record of 18 
Source Fullshangwe

No comments:

Post a Comment