Wednesday, February 27, 2013

RAIS KIKWETE AKAGUA UKUMBI WA KISASA WA MIKUTANO WA KIMATAIFA JIJINI DAR ES SALAAM





Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ukumbi  mkubwa wa mikutano multi-purpose conference Hall' uliopo mtaa wa Shaaban Robert jijini Dar es Salaam. Ukumbi huo wa Serikali upo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Ujenzi wa Ukumbi huo uko katika hatua za mwisho na Rais Kikwete mbali na kuridhishwa na hatua hiyo ametoa maelekezo kwa wahandisi kutenga sehemu maalumu kwa Wapiga picha na waandishi wa habari ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi. Rais Kikwete pia ameelekeza wahandisi kuweka viti na meza zinazohamishika ili kukidhi matakwa ya mikutano na vikao vya aina mbalimbali (picha na Freddy Maro)

YANGA YAIKAMUA KAGERA SUGAR I-0

 Simon Msuna wa Yanga akichuana na Malegesi Mwangwa wa Kagera Sugar, timu zao zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kagera ilefungwa bao 1-0. Picha zaidi ni mpambano huo.
 Simon Msuna na Muganyizi Martin wa Kagera Sugar
 Said Bahanuzi wa Yanga na  Benjamin Asukile
 Frank Domayo wa Yanga na Daudi Jumanne
 Haruna Niyonzima wa Yanga na  Ally Abdulkareem
 Simon Msuna wa Yanga na  Malegesi Mwangwa
 Haruna Niyonzima wa Yanga na Muganyizi  Martin
 Didie Kavumbagu wa Yanga na Juma Nade
 Kavumbagu wa Yanga aakiwa amelala baada ya kudaiwa kukwatuliwa kwenye eneo la hatari mwa Kagera Sugar. Hata hivyo penati iliytotolewa licha ya kusababisha ubishi lakini haikuza matunda baada ya mchezaji wa Yanga aliyeipiga kuipaisha.
 Refa akibishana na wacxhezaji wa Kagera kwa ajili ya penati hiyo
 Penati ambayo haikuzaa matunda
Mashabviki wa Yanga. PICHA ZOTE NA NKOROMO BLOG

No comments:

Post a Comment