Wednesday, November 7, 2012

KOMBE HILOOOOOOOOOOOOOOO BAADA YA KUWABANJUA TRA MARA HAPO JANA

 Beldina Nyakeke Katibu wa Chama cha Waandishi wa habari mkoani Mara akiwa amenyanyau Kombe baada ya Timu ya wanagabari jana kuwabanjua wakusanya Mapato wa TRA MARA  mabo 2-1

 Mshambuliaji wa timu ya wanahabari Mara Augustine Mgendi akibusu kombe hapo jana baada ya kukabidhiwa Katibu wa Chama hicho hapo jana

  Katibu msaidizi wa MRPC  Paschal Michael akiwa amebeba Kombe

No comments:

Post a Comment