WAZIRI NCHIMBI ATIMULIWA NA WANAHABARI HII LEO
Katika Maandamano hayo yaliyoishia viwanja vya Jangwani yaliingia Dosari baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Dk. Emmanuel Nchimbi kuwasili pasipo mualiko kutoka kwa Wanahabari hao, ambapo hata hivyo Waziri huyo alikubari kusikiliza wazo la waandishi kumtaka aondoke eneo la tukio kwa kuwaacha wandishi waendelee na Ratiba waliyokuwa wameipanga.
Katika picha ni baadhi ya Matukio yaliyokuwa yamejiri hii leo
Katika Picha ni Baadhi ya Matukio yaliyokuwa yamejiri hii leo.
No comments:
Post a Comment