Monday, April 9, 2012

NDEGE YA ATC YAPATA AJALI LEOOOOOOOOOOOOOOOOOOO


Ndege ya Shirika la ATC ambayo ilikuwa imetoka  Dar es salaam na kutua Kigoma salama na Baada ya muda mchache kuanza safari ya kuelekea Tabora ambapo ndio ilikuwa kwa Runway na kudondoka muda mfupi kabla ifanye hivyo, taarifa zaidi kutoka  kwa abiria ambao walikuwepo ndani ya Ndege hiyo zinadai kuwa ilikuwa imejaza zaidi ya uwezo wake. Katika ajali hiyo bawa moja la upande wa kulia limevunjika kabisa, na hakuna abilia hata mmoja aliye jeruhiwa vibaya. Hata hivyo kuna akina bibi wawili ambao wamepatwa na mshituko kutokana na ajali hiyo na wamekimbizwa moja kwa moja katika hospital ya maweni Kigoma

No comments:

Post a Comment