Waziri wa fedha na uchumi Mstafa Mkullo leo jioni anatarajiwa kusoma bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2011/2012 huku watanzania wengi wakisubiria kwa hamu kubwa juu ya kushuka kwa gharama ya vitu mbalimbali ambavyo vinaonekana kuwa chanzo cha kupanda kwa gharama ya maisha hapa nchini
Naibu waziri wa habari michezo utamaduni na michezo akijiweka sawa kujibu swali lililoulizwa katika wizara hiyo
Naibu waziri akitoa ufafanuzi
Spika wa Bunge Anna Makinda akisoma majina ya wageni bungeni leo asubuhi
Wageni waalikwa ambao ni wanasiasa katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Waziri wa fedha mstapha Mkullo akielezea Taarifa juu ya hali ya uchumi hapa nchini
Mbunge wa Monduli Edward Lowasa Bungeni leo
Spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Anna Mkainda
No comments:
Post a Comment