Friday, December 31, 2010

MAPUMZIKO NA KAZI YANATAKIWA KATIKA MAISHA

 Siku ya Krismas vijana hawa walinitembelea Nyumbani na mambo yakawa poaaaaaaaaaaaa
                             Ebwana huyu ni mwanae au kapata kazi anaitwa Sefloza wa Ukweli
                                       Ester wa Kheri katika pozi
                                              Kazi ndio msingi wa Maisha
                                             Hakuna kulala kazi kwa kwenda mbele
                               Tabasamu linapokuwepo linaonyesha upendo
                                    Maelekezo yanatakiwa ili kazi iwe nzuri zaidi
               Pamoja na maelekezo ya mwenye kazi lakini pia maelekezo ya kitaalam yanatakiwa

No comments:

Post a Comment