Meya wa manispaa ya Musoma Alex Kisurura wa pili kulia akiwa na naibu Meya Angela Lima kulia katika mkutano huo jana,kulia kwa Meya ni mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Musoma mjini Charles Kayere.
Umati wa watu waliokuwepo jana katika mkutano wa kwanza wa Chadema tangu watwae madaraka katika jimbo la Musoma mjini.
No comments:
Post a Comment