Monday, November 8, 2010

MPANGILIO WA SHUGHULI ZA MKUTANO WA KWANZA WA BUNGE





JUMATANO
10 Novemba, 2010
Usajili kuendelea Dodoma - Katibu wa Bunge

ALHAMISI
11 Novemba, 2010
Saa 4.00 Asubuhi
* Mikutano ya Kamati za Vyama vya Siasa
* Kikao cha Briefing UKUMBI WA BUNGE

Saa 10.00 Jioni
Kupokea majina ya wagombea Uspika (Nomination day)

IJUMAA
12 Novemba, 2010

* Mkutano wa Bunge wa Kwanza.
* Kikao cha Kwanza kuanza kwa kusomwa Tangazo la Rais la kuitisha Bunge
* Uchaguzi wa Spika.
* Kiapo cha Spika.
* Wimbo wa Taifa na Dua
* Kiapo cha Utii kwa Wabunge Wote.

JUMAMOSI ASUBUHI
13 Novemba, 2010
Wabunge kuendelea Kuapishwa

JUMATATU
15 Novemba, 2010
Wabunge kuendelea Kuapishwa

JUMANNE
16 Novemba, 2010 Asubuhi
Wabunge kuendelea Kuapishwa

Mchana
* Kuthibitisha Jina la Waziri Mkuu
* Waziri Mkuu kutoa Neno la Shukrani
* Uchaguzi wa NAIBU SPIKA

JUMATANO
17 Novemba, 2010
Asubuhi
Waziri Mkuu Kuapishwa IKULU -CHAMWINO

10. Saa 10.00 Jioni
RAIS KULIHUTUBIA BUNGE UKUMBI WA BUNGE

NENO LA SHUKRANI - WAZIRI MKUU

HOJA YA KUAHIRISHA BUNGE

USIKU Tafrija ya Rais kwa Wabunge wote Viwanja vya Bunge

* ENDAPO ITAKUWA SIKUKUU TAREHE 15 AU 16 NOVEMBA, 2010 BUNGE LITASITISHA SHUGHULI ZAKE HADI SIKU INAYOFUATA. OFISI YA BUNGE

S.L.P. 9133

DAR ES SALAAM

8 Novemba, 2010
 
© Michuzi

No comments:

Post a Comment