Friday, November 12, 2010

JAMANO NINI SIRI YA MAISHA?

               Kijana ambaye ni mmachinga akiwa amelala katika ofisi za Mohamed Trans mjini musoma,Jamani maisha bado hali ngumu
Binti akicheza ziwa victoria hii ni hatari lakini pia ni vyema mtoto akafurahi

Ndio maji tunayotumia vijijini jamani


Siunacheki mwenyewe


Kwa binti kama huyu mjini ni vigumu kumkuta anafanya hivi lakini kijijini ni kawaida,lakini huyu yupo mjini

Ukiwa beach Tunda muhimu

Ndio zetu

Kucheza jamani pia ni afya

                                                       Ziwa victoria linavyoonekana

No comments:

Post a Comment