Saturday, October 23, 2010

TUNATAKA HAKI YETUUUUUUUUU

                                                Wakazi wa Nyakanga wakiwa na mabango

                            Jumanne Magige akisisitiza jambo katika maandamamno hayo

                                    Wakazi wa Nyakanga wakiwa katika mkutano wa kudai haki yao

Tatizo ni kwamba wananchi hao serikali ya halamshauri ya Musoma chini ya Mkurgenzi ilipitisha barabara katika mashamba yao lakini hawakupewa fidia hivyo wanaitaka serikali kuwapa fidia yao

No comments:

Post a Comment