Pilika za kutafuta nafasi za uwakilishi katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea leo mjini Musoma ambapo wagombea mbalimbali wa vyama vya siasa watakuwa wakimimina sera jukwaani.Siasa ni maisha usijaribu kupiga kura kwa ushawishi au kufuata mkubo au kupokea rushwa ndugu yangu
No comments:
Post a Comment