Tuesday, June 10, 2014

Rais Kikwete alivyohani msiba wa Msanii Mkongwe Marehemu Mzee Small

 Rais Kikwete akiwasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small
 Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu hii leo.
 Rais Kikwete akitoka kwenye nyumba ya Marehemu Mzee Small mara baada ya kuwapa pole Mjane wa marehemu, ndugu jamaa na marafiki
 Rais Kikwete akizungumza na waombolezaji waliofika msibani hapo, Kulia kwake ni rais wa shirikisho la filamu Tanzania Simon Mwakifwamba
 Rais Kikwete akiwa ameketi na mtoto wa marehemu Mzee Small, Mahmoud Said Ngamba
  Rais Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo
 Rais Kikwete akiagana na mtoto wa marehemu
 Rais akisalimiana na waombolezaji
 Rais Kikwete akijiandaa kuondoka baada ya kuhani msiba wa Mzee Small
Picha zote na Edwin Moshi wa Eddy Blog

No comments:

Post a Comment