SHIRIKA LA
UMEME TANZANIA
TAARIFA
YA KATIZO LA UMEME MKOA WA MARA
KWA AJILI
YA KURUHUSU MATENGENEZO YA KAWAIDA
Meneja wa TANESCO Mkoa wa
Mara anasikitika kuwataarifu wateja wake kuwa kutakuwa na katizo la umeme Mkoa
wa Mara ili kuruhusu matengenezo ya kawaida kama ifuatavyo:-
SIKU, TAREHE
NA MUDA
|
KITUO
|
MAENEO
YATAKAYOKOSA UMEME
|
JUMAMOSI-
31/05/2014 SAA 3
ASUBUHI – 11 JIONI
|
MUSOMA POWER
STATION
|
Maeneo yote ya
mji wa Musoma
|
JUMAPILI-
01/06/2014 SAA 3
ASUBUHI – 11 JIONI
|
MUSOMA POWER
STATION
|
Maeneo yote ya
mji wa Musoma.
|
Tafadhali ukihitaji utatuzi wa
jambo lolote kuhusu umeme wakati wa dharura, wasiliana na Ofisi za TANESCO kwa
namba 0732 985672,
0683 165087, au 028 2622 020 .
Au
Kituo cha miito ya simu kwa namba 022-2194400
or 0768 985 100
Uongozi unasikitika kwa
usumbufu wowote utakaojitokeza.
Imetolewa na:
Mhandisi Respicius Ndyanabo,
Kaimu Meneja wa TANESCO,
Mara.
No comments:
Post a Comment