Tuesday, January 22, 2013

UCHAGUZI TFF: HAWA NDIO WALIOMBA KUGOMBEA TAYARI KWA PINGAMIZI

1. Kamati ya Uchaguzi ya TFF imepitia Fomu za waombaji uongozi wa TFF na kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 11 (1), (2) na (3), waombaji uongozi wafuatao majina yao na nafasi wanazoomba kugombea yanawekwa wazi kutoa fursa kwa wale wote wenye pingamizi kwa nini mwombaji aliyetajwa hapa chini asiteuliwe kugombea nafasi aliyoomba, wawasilishe pingamizi zao kwa Katibu Mkuu wa TFF, kuanzia tarehe 22 Januari 2013 hadi tarehe 26 Januari 2013 saa 10.00 jioni.


2. Pingamizi sharti liwe kwa maandishi, lieleze kwa uwazi sababu za pingamizi, liambatanishwe na ushahidi wa pingamizi, liwe na jina kamili la mtoa pingamizi, anwani ya kudumu na saini yake.


NAFASI
S/No.
JINA
RAIS WA TFF
1.
Athumani Jumanne Nyamlani
2.
Jamal Emily Malinzi
3.
Omary Mussa Nkwarulo
MAKAMU WA RAIS WA TFF
1.
Michael Richard Wambura
2.
Ramadhan Omar Nassib           
3.
Wallace Karia
MJUMBE WA KAMATI YA
UTENDAJI –
Kanda ya 1 (Kagera, Geita)
1.
Abdallah Hussein Musa 
2.
Kalilo Samson
3.
Salum Hamis Umande Chama
Kanda ya 2 (Mwanza, Mara)
1.
Jumbe Oddessa Magati
2.
Mugisha Galibona
3.
Samuel Nyala
4.
Vedastus F.K Lufano
Kanda ya 3 (Shinyanga, Simiyu)
1.
Epaphra Swai
2.
Mbasha Matutu
Kanda ya 4 (Arusha, Manyara)
1.
Charles Mugondo
2.
Elley Simon Mbise
3.
Omary Walii Ali 
Kanda ya 5 (Tabora, Kigoma)
1.
Ahmed Idd Mgoyi
2.
Yusuf Hamis Kitumbo
Kanda ya 6 (Rukwa, Katavi)
1.
Ayubu Nyaulingo
2.
Blassy Mghube Kiondo
3
Nazarius A.M Kilungeja 
4.
Seleman Bandiho Kameya
Kanda ya 7 (Iringa, Mbeya)
1.
David Samson Lugenge
2.
Eliud Peter Mvella
3.
John Exavery M. Kiteve
4.
Lusekelo E. Mwanjala
Kanda ya 8 (Ruvuma, Njombe)
1.
James Patrick Mhagama
2.
Stanley W. D Lugenge
Kanda ya 9 (Mtwara, Lindi)
1.
Athuman Kingome Kambi
2.
Francis Kumba Ndulane
3.
Zafarani Mzee Damoder
Kanda ya 10 (Dodoma,  Singida)
1.
Hussein Zuberi Mwamba
2.
Stewart Ernest Masima
Kanda ya 11 (Morogoro, Pwani)
1.
Farid Nahdi
2.
Hassan Othuman Hassan
3.
Riziki Juma Majala
4.
Twahil Twaha Njoki
Kanda ya 12 (Kilimanjaro, Tanga)
1.
Davis Elisa Mosha
2.
Khalid Abdallah Mohamed
3.
Kusianga Mohamed Kiata
Kanda ya 13 (Dar es salaam)
1.
Alex Crispine Kamuzelya
2.
Juma Abbas Pinto
3.
Muhsin Said Balhabou   
4.
Omary Isack Abdulkadir
5.
Shafii Kajuna Dauda
3.                   Waombaji uongozi wafuatao  wameondolewa kwenye mchakato wa uchaguzi:
(i)                   Richard Julius Rukambura; Amevunja Kanuni za Uchaguzi  za TFF Ibara ya 10(8) kwa kuomba nafasi  mbili za Rais na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF kwenye uchaguzi  wa TFF.
(ii)                 Titus Osoro; Amejitoa kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF.

UCHAGUZI WA TANZANIA PREMIER LEAGUE BOARD
(TPL BOARD)
1.                   Kamati ya Uchaguzi ya TFF imepitia Fomu za waombaji uongozi wa TPL Board na kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 11(1), (2) na (3), waombaji uongozi wafuatao majina yao na nafasi wanazoomba kugombea yanawekwa wazi kutoa fursa kwa wale wote wenye pingamizi kwa nini mwombaji aliyetajwa hapa chini asiteuliwe kugombea nafasi aliyoomba, wawasilishe pingamizi zao kwa Katibu  Mkuu wa TFF, kuanzia tarehe 22 Januari 2013 hadi tarehe 26 Januari 2013 saa 10.00 jioni.
2.    Pingamizi sharti liwe kwa maandishi, lieleze kwa uwazi sababu za pingamizi, liambatanishwe na ushahidi wa pingamizi, liwe na jina kamili la mtoa pingamizi, anwani ya kudumu na saini yake.
NAFASI INAYOGOMBEWA
S/No.
JINA
MWENYEKITI WA TPL BOARD
1.
Hamad Yahya Juma
2.
Yusufali Manji
MAKAMU MWENYEKITI WA TPL BOARD
1.
Said Mohamed 
MJUMBE –KAMATI YA UENDESHAJI (Management Committee)
1.
Christopher Peter Lukombe
2.
Kazimoto Miraji Muzo
3.
Omary Khatibu Mwindadi

No comments:

Post a Comment