Tuesday, November 6, 2012

TRA MARA WAKUBALI MATOKEO,WAPIGWA 2-1 NA WANAHABARI WA MARA

                                               Kikosi cha TRA MARA 
                               Mfungaji wa goli la Pili Alhaj Majogoro kushoto
    Haikuwa rahisi kuyakubali Matokeo hawa Jamaa wa TRA hapa ni baada ya Mechi
           Wengine walificha uso kwa aibu ni Ramadhani Magoe mchezaji mkongwe hapa nchini
                        Mgendi akijiuliza baada ya kichapo chha bao 2-1
                        Ejaga Mahamba wa TRA alikubali Matokeo
  Baada ya mechi jamaa walianza kuwasiliana na vyumba vya habari
                               Kikosi cha wana habari Mara
                  Baada ya ukaguzi salaam ilikuwa muhimu
                                                Furaha ya ushindi
                          Umakini ulikuwepo katika kuchukua Majina ya wafungaji
                              Mkongwe Ally Mchumila,wanahabri wa heshima
                                Afisa Utamaduni Manispaa ya Musoma,Mwl Luhende
                                          Furaha ya ushindi
                        Maelekezo nayo muhimu
Amani Richard Kocha wa timu ya TRA Mara iliyokubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa wanahabari wa Mara leo

No comments:

Post a Comment