Monday, July 23, 2012

BREAKING NEWZ,WAZIRI WA MAWASILIANO NA UCHUKUZI ZANZIBAR HA HAMAD MASOUD AMEJIUZULU KUFUATIA KUZAMA KWA MELI YA MV SKAGIT ILIYOUWA MAMIA YA WATANZANIA

Aliyekuwa waziri wa Miundombinu na Uchukuzi Zanzibar Mh Hamad Masoud amejiuzulu wadhifa  huo kufuatia ajali ya Meli iliyosababisha vifo vya Mamia ya Watanzania.

Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la Polisi Zanzibar Inspekta Mohamed Mhina amesema kuwa waziri huyo aliandika barua ya kuomba kujiuzulu kwa Rais wa Zanzibar Dr Ally Mohamed Shein hatua ambayo Rais ameikubali na kumteua mtu atakayeshika wadhifa huo.

Katika hatua nyingine Rais Shein ameteua tume iliyochunguza ajali ya MV Pice Slander kuchynguza chanzo cha ajali ya meli ya Mv Skagit

No comments:

Post a Comment