Monday, April 30, 2012

            JESHI LA POLISI MUSOMA NGANGARIIIIIIII
ASKARI wa Jeshi la Polisi Kituo cha kati Musoma wakiwaonesha waandishi
wa habari dawa za kulevya aina ya Mirungi iliyokamatwa, pamoja na dawa
za Binadamu aina ya Alu, Amoxiline, Dawa za usingizi, SP, Qunin Syrup,
dawa za Kifua Kikuu kutoka nchini Kenya kuingia nchini kupitia sirari
wilayani Tarime katika kampuni tofauti za mabasi ya Zacharia na Batico
zikiwa zimehifadhiwa kwa mbinu mpya mithili ya mafuta ya kupikia,





Kulia ni Mkuu wa Kituo cha Polisi kati Musoma, Babu Sanare. (Picha na Thomas Dominick)

No comments:

Post a Comment