Monday, November 22, 2010

MKUTANO WA WADAU WA AFYA MKOANI MARA WAKUTANA TARIME LEO

                     Mganga mfawidhi wa mkoa wa Mara Dr Wambura alitoa mada katika mkutano huo
          Mkurugenzi wa Halmshauri Musoma Dr Kunei akiwa katika mkutano wa wadau wa afya Tarime leo
  Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali mstaafu Enos Mfuru ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo akiwa pamoja na Mganga mkuu wa mkoa wa Mara Dr  Samsoni Winani
 Mganga mkuu wa mkoa wa Mara Samson Winani akitoa mada katika mkutano huo juu ya kujengwa Kwa hospital ya Rufaa ya mkoa wa Mara ambayo itajulikana kwa jina la MWL NYERERE MEDICAL CENTER ikiwa ni kuenzi mapambano yake katika suala zima la maradhi,ujinga na umaskini katika uongozi wake
      Dr Winani akionyesha baadhi ya mchoro wa jengo la hospital ya  Mwl Nyerere Medical Center
         Kabla ya yote mkuu wa mkoa wa Mara kanali mstaafu Enos Mfuru alifungua mkutano huo ambapo alisema kuwa mkoa wa Mara unachn\angamoto nyingi katika sekta ya afya.Akitaja changamoto hizo alisema ni pamoja na maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi ambapo katika wilaya ya Rorya yamepanda sana
                                   Kanali Mfuru akifafanua jambo kwa wajumbe
                                                    Hapa mada bado inaendelea

  Wajumbe kutoka sehemu mbalimbali ndani nya mkoa wa Mara na nje ya mkoa wa Mara wakisikiliza kwa umakini masuala ya afya yanayojadiliwa katika mkutano huo
                                                             Usikivu asilimia 100
  Wakuu wa wilaya wakiwa katika mkutano huo,kutoka kushoto ni Fransic Isack wa Bunda na Kanali mstaafu Benedict wa Rorya
Huyu anaitwa George Marato ni mwakilishi wa kituo cha Televisheni cha ITV na Redio One mkoani Mara naye akiwa katika mpangilio wa kuhudhuria mkutano huo ili wananchi waweze kujua nini amabcho wadau hao walijadili katika mkutano huo wa siku tatu.Lengo ni kuhakikisha tunapunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto,maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi na masuala mengine kama ya afya 

No comments:

Post a Comment