Thursday, October 28, 2010

MTOTO HUYU APIGWA PANGA LA MKONO

                Salehe Julius(13) akiwa hospital akipata tiba hospital ya mkoa wa Mara Leo
       Salehe Julius(13) akiwa hospital akipata tiba hospital ya mkoa wa Mara Leo
                  Salehe Julius(13) akiwa hospital akipata tiba hospital ya mkoa wa Mara Leo


Taarifa zinasema kuwa kijana aliulizwa je unajua maana ya neno PEOPLE? akasema  sijui akalambwa panga  kwenye mkono wake wa kushoto.kukatwa kwa mkono huo kunapelekea hali ya kisiasa mkoani hapa kuwa tete hasa baada ya matukio kadha wa kadha kama hayo kutokea mjini hapa,Taarifa zinasema mtu huyo alikuwa amevaa nguo yenye nembo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kisha kukimbia.Jamani uchaguzi ni amani si vita tunahitaji kiongozi mwenye kujali watu si kutenganisha watu.

Mtoto huyo amama yake mzazi ni balozi wa nyumba kumi lakini msaada mkubwa alipewa na mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  Vincent Nyerere.

No comments:

Post a Comment