Tuesday, September 4, 2012

MAZISHI YA MWANAHABARI WA CHANEL TEN HUKO TUKUYU LEO

 Mwili wa Mwana habari Daud Mwangosi huko Mbeya Leo
 Mwili wa Marehemu Daudi ukiwekwa katika Nyumba yake ya Milele
   Waandishi wa habari wakifukia Mwili wa Marehemu Daudi
    Mke wa Marehemu akiwa juu ya Kaburi la mme wake huku akilia
                             Watoto wa Marehemu Daudi
           Katibu mkuu wa CHADEMA Dr Slaa akiweka shada la Maua kwenye kaburi la Daudi
            Wanahabari wakiendelea na kazi yao katika kuupasha Umma
Picha na Mbeya yetu

No comments:

Post a Comment