Wednesday, March 30, 2011

SIKU YA KIFUA KIKUU DUNIANI,KITAIFA YAFANYIKA MKOANI MARA

 
Redio Victoria ya mjini Musoma yapongezwa kwa kurusha matangazo hayo moja kwa moja kutoka kwenye viwanja vya shule ya Msingi Mukendo,burudani na mambo mbalimabli yalikuwepo katika maadhimisho hayom huku watu mbalimbali wakijitokeza kuonyesha kuwa unapokuwa na TB si Kwamba ndio kifo kimrfika bali utatibiwa na pia utapona

                     SHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA KUPAMBANA NA KIFUA KIKUU
 Banda la Victori Fm likiweka sawa mitambo yake tayari kwa kwenda live
 Mkurugenzi wa Victoria Fm mwenye kitambaa kichwani akirekebisha mitambo tayari kwa kwenda live sikun ya maadhimisho ya kifua kikuu duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Mara
 Mjomba ama Mrisho Mpoto alikuwa ni sehemu ya kivutio katika maadhimisho hayo akiwa pamoja na Ismail
 Maandamano pia yalikuwepo katika maadhimisho hayo
 Waandishi wa habari walikuwepo katika kufikisha ujumbe huo katika jamii
 Burudani kutoka Tarime mkoani Mara ilikuwepo katika maadhimisho hayo
                                                         meza kuu

   Usalama wa raia na mali zao ni muhimu katika mambo kama hayo
  Taaluma ya habari hakika ni muhimu kwa jamii
 Taarifa zaidi ni kwamba Studio za Victoria Fm kwa sasa zinatengenezwa upya hivyo  I hope matangazo yatakuwa baaab Kubwa

No comments:

Post a Comment