Kwaya ya Tumaini ya mjini Musoma jana imezindua albam yake ambayo ina nyimbo kumi katika uwanja wa kumbukumbu ya Karume mjini Musoma.Katika uzinduzi huo mgeni rasmi alikuwa mstahik Meya wa Manispaa ya Musoma Alex Kisurura ambaye alisema kuwa serikali inathamini mchango wa taasisi za dini.
No comments:
Post a Comment