Saturday, December 18, 2010

HAKIKA JIJI LA MWANZA NI SAFI

         Usafi wa sehemu unaanzia katika mazingira
 Usafi mpaka maeneo hata kama kuna biashara za watu wa chini lakini sehemu inapendeza
Kumbukumbu ya Mti ambao inasemekana ulitumiwa na wakoloni zamani kunyonga mabibi na mababu zetu,unapatika jijini Mwanza ukuwa unaelekea uwanja wa Ndege

No comments:

Post a Comment